Mji wa Mbamba bay wilayani Nyasa ndio makao makuu ya wilaya. Katika eneo hili uvuvi ndio shughuli kuu kwa wakazi wengi wa mwambao wa ziwa Nyasa.
Basi ukifika asubuhi katika eneo hili ziwani kwetu Mbamba bay utakutana na pilika pilika za mboga kama hivi. Yaani vijana na wazee huamia ziwani kutafuta chochote. KWA MNYASA SAMAKI KWANZA HUAMKAPO ASUBUHI.
No comments:
Post a Comment